PDF Google Drive Downloader v1.1


Báo lỗi sự cố

Nội dung text Matumizi ya Kamusi topi 3 - WazaElimu.com.pdf




4 (b) Tarakimu na herufi (c) Alama , Alama ya mkato inatenga: (a) Orodha ya sinonimu (b) Mfuatano wa minyambuo ; Alama ya nuktamkato inatenganisha: (a) Fasili moja na nyingine ya kidahizo zinazoachana kidogo (b) Fasili na sinonimu ya kidahizo (c) Msemo, methali au nahau na fasili (d) Misemo na methali au nahau (e) Mfano mmoja wa matumizi na mwingine (f) Maana za (ms) na (mt) au (nh), taz. Mfano wa denge (g) Kategoria moja na nyingine . Alama ya nukta ina matumizi manne: (a) Inatenga mzizi wa kitenzi na irabu ya mwisho (b) Huonesha mwisho wa fasili ya kidahizo (c) Inatenga orodha ya minyambuo na taarifa zilizotangulia. (d) Inatenga orodha ya (ms), (mt) au (nh). : Alama ya nuktambili hutenga fasili na mfano wa matumizi. ! Alama ya mshangao huonesha kuwa kidahizo ni kiingizi, ( ) Mabano ya mduara hutumiwa kufungia: (a) Tarakimu za orodha ya misemo, methali au nahau k.v (1), (2), (3) (b) Vifupisho vya misemo, nahau au methali k.v (ms), (mt), (nh). Tarakimu k.m. 1, 2, 3, zimetumika kutenga maana za maneno. Tarakimu zilizo kwenye mabano ya mduara k.m. (1), (2), (3), zimetumika kutenga orodha ya misemo, methali na nahau. Tarakimu za kipeo k.m. paa1, paa2, paa3, paa4, zimewekwa baada ya neno kuonyesha idadi ya vidahizo homonimu. Herufi zilizo kwenye mabano ya mduara k.m. (a) au (b) zimetumika kutenga maana tofauti za misemo au nahau.

Tài liệu liên quan

x
Báo cáo lỗi download
Nội dung báo cáo



Chất lượng file Download bị lỗi:
Họ tên:
Email:
Bình luận
Trong quá trình tải gặp lỗi, sự cố,.. hoặc có thắc mắc gì vui lòng để lại bình luận dưới đây. Xin cảm ơn.